Saturday, February 9, 2008

Adui kulia!! Kihaap..Kumaliza pambano kwa pigo moja. Simon msakanya(kulia) akimpiga "adui" Amiri Salim(kushoto) pigo liitwalo "Sonkal Yop Taerigi". Jamaa ana uwezo wa kuvunja vigae vitano vilivyofungwa pamoja na kuwa furushi moja kwa pigo hilo. Swali..Je shingo yako kwa mbele hapa..usawa wa koromeo ni pagumu kuliko vigae vitano vilivyofungwa pamoja na kuwa furushi moja?

No comments: