Friday, February 15, 2008

Dada yetu wa kichina

Dada yetu, "Hoang Hwe", wa Beijing China akirusha teke nyoofu la pembeni (yop chaggi) "Masela" kuweni makini..Mungu akitujalia atakuja bongo mwaka huu. Lakini..psssstt...chonde chonde..nanihii..eehh..mmhh msi..msih..msije mkajaribu kumpora kisimu chake..Nomaaa..Aibuu...

No comments: